Everyone is a shepherd and everyone will be questioned according to what they look after. A husband is a shepherd of the wife and his family and he will be asked, the wife is to look after the home of her husband and she will be asked and any other shepherd will be asked according to what they are looking after.
Watanzania wameombwa kwa pamoja kushirikiana na Taasisi isiyo ya Kiserikali ya SADAKA NETWORK , Hospitali ya Muhimbili na Aga Khan kwa kushirikiana na Women to women foundation kuchangia kurudisha tabasamu usoni kwa wakina mama na watoto waliopata matatizo hayo kwa bahati mbaya, kupata ajali,kwa ukatili wa kijinsia, kupigwa au matatizo yoyote yaliyopelekea wao kuharibika maumbile yao ikiwa ni usoni ama sehemu nyengine ya mwili.
Mwanzilishi wa taasisi hiyo Dkt. Ibrahim Msengi akizungumza ...
Read More...