Neema yako yanitosha
Mchungaji Elisha E. Nyamlundwa (Namba ya Utambulisho: R0032)
Msimamizi wa kanisa
River of Life (Kiwanda cha yeboyebo)
Pwani, Mkuranga, coast regional
Tanzania

Kila mmoja anapata changamoto katika maisha na pale inapomuwia vigumu kuvumilia, hutafuta matumaini kwaajili ya mafanikio maishani kwaajili yao na wale wawapendao, huku wakitambua kuwa yote yanafanyika kwa neema ya Mungu. Chagua maombi maalum na uniruhusu niwe pamoja nawe katika wakati wa shida. Mimi mwenyewe nitakuombea kwaajili ya nguvu, matumaini mengine yote ambayo ni haja za roho yako.
Zaburi 107:6 - "Ndipo katika taabu zao wakamlilia Mwenyezi Mungu, naye akawaokoa katika mateso yao."

Omba sala maalum kwaajili yako na wale uwapendao pale wanapokuwa na shida.