Maombezi
Mchungaji ukutana na mtu mmojammoja kwa ushauri na maombezi
Bwana Yesu apewe Sifa
Mimi mchungaji Dickson Emmanuel Masima, mchungaji kiongozi wa kanisa la Mlima wa Moto Kigamboni, Gezaulole. Napenda nikutambulishe kwenye jukwaa langu la maombi lenye mpenyo na majibu ya gafla.Labda wewe uko mbali na eneo la huduma yangu Tanzania au nje ya Tanzania jukwaa hili litakuwezesha kufikiwa na maombi eneo lolote ulipo kwa wakati wowote na utapokea majibu ya papo hapo muda huo huo, Jukwaa hili la maombi ni kuinganishi kizuri kati yakow ewe na mimi kama vile tunavyojua mungu huwatumia watumishi wake kwasababu hakuna jambo lolote la kumshinda mungu wetu.