Waambie wana wa Israel wasonge mbele
Jackson S. Jackson (Namba ya Utambulisho: P0002)
Askofu
Jackson S. Jackson (Namba ya Utambulisho: P0002)
Askofu
Anglican Church Diocese of DSM (Jengo kubwa la biashara mtaa wa Arusha Ilala)
Dar es Salaam, Ilala, DSM
Tanzania

Ujumbe Binafsi

Nitakufundisha na kukuonyesha njia utakayoiendea; Nitakushauri,jicho langu likikutazama (zab 32:8)

Miradi

SADAKA NETWORK,AGAKHAN NA HOPITAL YA MUHIMBILI KUUNGANA KUSAIDIA WAATHIRIKA WA UKATILI WA KIJINSIA
Nov 08, 2018

Watanzania wameombwa kwa pamoja kushirikiana na Taasisi isiyo ya Kiserikali ya SADAKA NETWORK , Hospitali ya Muhimbili na Aga Khan kwa kushirikiana na Women to women foundation kuchangia kurudisha tabasamu usoni kwa wakina mama na watoto waliopata matatizo hayo kwa bahati mbaya, kupata ajali,kwa ukatili wa kijinsia, kupigwa au matatizo yoyote yaliyopelekea wao kuharibika maumbile yao ikiwa ni usoni ama sehemu nyengine ya mwili.

Mwanzilishi wa taasisi hiyo Dkt. Ibrahim Msengi akizungumza ... Soma Zaidi...

Jiandikishe bure

Wafuasi

Changia mradi ya jumuiya

CHANGIA

Onyesha huduma zote

Huduma zote