Rotary ROTARY CLUB OF DSM PENINSULA
Namba ya Utambulisho: X0007
kituo cha radio EFM .
Namba ya Utambulisho: C0006
Mwanafunzi Zion Marshall
Namba ya Utambulisho: Y0016
Hospital Muhimbili national .
Namba ya Utambulisho: X0004
Mwanamuziki Layla (Voice Fairy)
Namba ya Utambulisho: Y0012
Television TV E
Namba ya Utambulisho: C0018
Gazeti Daily News .
Namba ya Utambulisho: C0009
Hospitali Aga Khan Health Service, Tanzania
Namba ya Utambulisho: X0001
CEO Irene Kiwia
Namba ya Utambulisho: Y0015
Digital Platform Simulizi na Sauti .
Namba ya Utambulisho: C0014
Gazeti HabariLEO .
Namba ya Utambulisho: C0008
Muigizaji/Muandaaji Monalisa .
Namba ya Utambulisho: Y0003
International Foundation Reconstructing Women International (RWI)
Namba ya Utambulisho: X0003
Public Relations (PR) MAI Consultancy Services
Namba ya Utambulisho: X0014
Mwanamichezo Hasheem Thabeet
Namba ya Utambulisho: Y0005
Mtangazaji Dina Marios
Namba ya Utambulisho: Y0013
Kituo cha Televisheni Star TV Tanzania
Namba ya Utambulisho: C0005
Radio Station Radio Free Africa
Namba ya Utambulisho: C0016
Mwanamziki Gnako .
Namba ya Utambulisho: Y0011
Kipindi cha Redio Maisha Mseto (TIMES FM)
Namba ya Utambulisho: C0011
Jarida Advertising Dar
Namba ya Utambulisho: C0013
TOT BONANZA.
Namba ya Utambulisho: C0021
Kituo Cha Televisheni TV 1 TANZANIA
Namba ya Utambulisho: C0010

Timu ya SADAKA Network kuwatembelea waathirika wa majanga ya moto na ukatili Majumbani baada ya kufanyiwa upasuaji.
Aug 16, 2019

Nenda kwenye Mradi


Timu ya SADAKA network ilipata nafasi ya kuwatembelea waathirika wa majanga yatokeayo majumbani pamoja na ukatili baada ya kufanyiwa upasuaji na kuwekewa bandaji Aga khan hospital ikiwa ni miongoni mwa mradi wa “ rudisha tabasamu usoni mwao” ili kuwafariji, na kuwapatia zawadi ya mafuta “ Vaseline skin creams” yaliyotolewa na Unilever Tanzania ili kurahisisha uponaji wao.
Tunatoa shukrani kwa wabia wetu, Aga khan Hospital, RWI foundation, Muhimbili National Hospital, Unilever, Mai consultations and Clouds Media kwa ushirikiano na juhudi walizotoa ilimkufanikisha hili.
Matamanio yetu ni kuona waathirika wote wanapona na kuendelea na kazi zao za kila siku haraka iwezekanavyo.