Rotary ROTARY CLUB OF DSM PENINSULA
Namba ya Utambulisho: X0007
kituo cha radio EFM .
Namba ya Utambulisho: C0006
Mwanafunzi Zion Marshall
Namba ya Utambulisho: Y0016
Hospital Muhimbili national .
Namba ya Utambulisho: X0004
Mwanamuziki Layla (Voice Fairy)
Namba ya Utambulisho: Y0012
Television TV E
Namba ya Utambulisho: C0018
Gazeti Daily News .
Namba ya Utambulisho: C0009
Hospitali Aga Khan Health Service, Tanzania
Namba ya Utambulisho: X0001
CEO Irene Kiwia
Namba ya Utambulisho: Y0015
Digital Platform Simulizi na Sauti .
Namba ya Utambulisho: C0014
Gazeti HabariLEO .
Namba ya Utambulisho: C0008
Muigizaji/Muandaaji Monalisa .
Namba ya Utambulisho: Y0003
International Foundation Reconstructing Women International (RWI)
Namba ya Utambulisho: X0003
Public Relations (PR) MAI Consultancy Services
Namba ya Utambulisho: X0014
Mwanamichezo Hasheem Thabeet
Namba ya Utambulisho: Y0005
Mtangazaji Dina Marios
Namba ya Utambulisho: Y0013
Kituo cha Televisheni Star TV Tanzania
Namba ya Utambulisho: C0005
Radio Station Radio Free Africa
Namba ya Utambulisho: C0016
Mwanamziki Gnako .
Namba ya Utambulisho: Y0011
Kipindi cha Redio Maisha Mseto (TIMES FM)
Namba ya Utambulisho: C0011
Jarida Advertising Dar
Namba ya Utambulisho: C0013
TOT BONANZA.
Namba ya Utambulisho: C0021
Kituo Cha Televisheni TV 1 TANZANIA
Namba ya Utambulisho: C0010

Mkutano na waandishi wa habari kwaajili ya Mradi wa "Rudisha tabasamu usoni mwao"2019
Aug 15, 2019

Nenda kwenye Mradi

Timu ya SADAKA network pamoja na madaktari kutoka Aga khan hospital, Muhimbili hospital na wabia wetu MAI consultation waliitisha mkutano na waandishi wa habari ili kutoa taarifa kuhusu mradi unaoendelea wa "Rudisha tabasamu usoni mwao" ambao lengo lake kuu ni kuwafanyia upasuaji wa marekebisho wanawake na watoto waliopata majeraha kutokana na ajali na ukatili majumbani.
Mradi wa "Rudisha tabasamu usoni mwao"unafanyika katika makundi mawili ili kukamilisha idadi ya waathirika wote 100. Kundi la kwanza linafanyika mwezi huu wa nane na jumla ya waathirika 50 tayari wako hospital kwaajili ya upasuaji huo, kundi la pili litafanyika mwezi wa 12 kwa ajili ya waathirika wengine 50.
Upasuaji huu unafanyika katika hospitali ya Aga khan na madaktari kutoka Muhimbili na shirika la wanawake madaktari wa upasuaji kutoka Canada na Marekani.
Vyombo na waandishi wa habari mbalimbali waliofanikiwa kufika walipata nafasi ya kupata taarifa kuhusu idadi kamili ya waathirika waliotayari hospitali na wanaendelea na upasuaji ambao wanafanya jumla ya idadi ya 50 kulingana na kundi la kwanza (mwezi wa nane) na wote wanaendelea vizuri. Tunawaombea wapate nafuu haraka ili waweze kuendelea na shughuli zao za kila siku.
Tunapenda kutoa shukrani zetu kwa mabalozi, wabia na jamii kwa ujumla kwa ushirikiano wenu mlioutoa ili kuweza kufanikisha mradi huu.