TUMUOGOPE MWENYEZI MUNGU
Shekhe Zailai H. Mkoyogore (Namba ya Utambulisho: A0007)
Sheikh wa wilaya ya temeke
Masjid Kadiria (karibu na Temeke hospital)
Dar es Salaam, Temeke, Dar es salaam
Tanzania

Dua ya kujalia Uzazi salama

Kuzaa watoto ni zawadi kutoka kwake Allah na huongeza furaha katika nyumba. Dua kwa ajili ya mama mjamzito kujifungua salama mtoto mwenye afya njema ni jukumu letu sote. Allah anayetupa uhai kwa dua zetu na sadaka atubariki sisi na wapendwa wetu kupata watoto wenye furaha na Afya tele.