TUMUOGOPE MWENYEZI MUNGU
Shekhe Zailai H. Mkoyogore (Namba ya Utambulisho: A0007)
Sheikh wa wilaya ya temeke
Masjid Kadiria (karibu na Temeke hospital)
Dar es Salaam, Temeke, Dar es salaam
Tanzania

Dua kwa ajili ya mwenzi anayekufaa

Watu wengi wanahitaji kutafuta mwenza ambae wataendana kitabia. Kuwa na mwenza ambae mnatofautiana tabia inaweza kuleta matatizo kwa siku za baadae. Kupata mwenza mnaeendana kitabia huleta furaha na Amani. Ni muhimu kuswali ili kupata mwanaume au mwanamke ataekuwa sahihi kwako na Allah hufahamu yote.