Shekhe
Zailai
H.
Mkoyogore
(Namba ya Utambulisho: A0007) Sheikh wa wilaya ya temeke
Masjid Kadiria (karibu na Temeke hospital)
Dar es Salaam,
Temeke,
Dar es salaam
Tanzania
House Location
Close
Dua kwa ajili ya kujalia Amani nyumbani
Sote tunatamani nyumba yenye Amani. Nyumba yenye Amani inaleta Amani ya akili , mwili na roho kwa wale wanaoishi ndani yake. Amaninyumbani inaweza kuvurugwa na wale waliomo ndani au nje ya nyumba lakini Imani na dua huweka nyumba katika Amani na usalama .