TUMUOGOPE MWENYEZI MUNGU
Shekhe Zailai H. Mkoyogore (Namba ya Utambulisho: A0007)
Sheikh wa wilaya ya temeke
Masjid Kadiria (karibu na Temeke hospital)
Dar es Salaam, Temeke, Dar es salaam
Tanzania

Dua ya kujalia mavuno bora

Kilimo ni uti wa mgongo wa familia nyingi. Kuna wakati, mvua hazinyeshi kwa wakati na jua linawaka sana na mazao yanakufa. Kupitia muongozo na Baraka za ALLAH tunapata kuishi na kupitia Imani yetu kwake anatubariki..ili ardhi kuwa na rutuba na kuweza kuzalisha, tunahitaji kumuamini Allah na kutimiza Matakwa yake ,tutoe ili tuweze kupokea. Yeye pekee anayeweza kurudisha kile kilichopotea na kutupa mvua na mavuno bora.