Hakika hamuwezi kuwatosheleza watu kwa mali zenu,Basi watoshelezeni kwa tabia zenu
Shekhe Abdallah I. Mtitu (Namba ya Utambulisho: A0003)
Sheikh wa wilaya ya Kigamboni
Masjid Noor (Kituo cha Afya Kigamboni)
Dar es Salaam, Kigamboni, Dar es salaam
Tanzania

Dua kwa ajili ya mwenzi anayekufaa

Watu wengi wanahitaji kutafuta mwenza ambae wataendana kitabia. Kuwa na mwenza ambae mnatofautiana tabia inaweza kuleta matatizo kwa siku za baadae. Kupata mwenza mnaeendana kitabia huleta furaha na Amani. Ni muhimu kuswali ili kupata mwanaume au mwanamke ataekuwa sahihi kwako na Allah hufahamu yote.