Assalaam Aleykum
Hakika yenu hamtaweza kuwakunjuwa watu kwa Mali zenu, basi wakunjueni kwa tabia zenu njema zikibeba upendo, adabu, na nidhamu ndiyo kitu pekee cha kutosha kwa jamii.
Na utafute kwa aliyokupa Mwenyezi Mungu makazi ya akhera wala usisahau fungu lako la dunia. Na fanya wema kama alivyokufanyia wema Mwenyezi Mungu, wala usitafute ufisadi katika ardhi, hakika Mwenyezi Mungu hawapendi mafisadi. (SURA AL-QASAS 28:77)