Umoja upendo na huruma ndiyo msingi wa mafanikio yetu
Shekhe Adam Y. Mwinyipingu (Namba ya Utambulisho: A0004)
Sheik wa wilaya ya ilala
Ofisi ya bakwata wilaya ya ilala (Ofisi ya bakwata wilaya ya ilala)
Dar es Salaam, Ilala, Dar es salaam
Tanzania

Dua ya kujalia mafanikio maishani

Wote tunatamani maisha mazuri na tunatamani kupata mahitaji muhimu katika maisha kama chakula, malazi afya njema na elimu. Licha ya hayo, maisha yana changamoto nyingi ambazo zinasababisha umasikini, magonjwa na kuleta woga kuhusu kesho ( siku zinazokuja). Quran inasema” Allah aliahidi wingi wa msamaha kutoka kwake” ( 7:188) . Tunahitaji muongozo kutoka kwa Allah ilikuweza kuchuma na kufurahia mahitaji muhimu ya ya maisha.