Umoja upendo na huruma ndiyo msingi wa mafanikio yetu
Shekhe Adam Y. Mwinyipingu (Namba ya Utambulisho: A0004)
Sheik wa wilaya ya ilala
Ofisi ya bakwata wilaya ya ilala (Ofisi ya bakwata wilaya ya ilala)
Dar es Salaam, Ilala, Dar es salaam
Tanzania

Dua kwa ajili ya mwenzi anayekufaa

Watu wengi wanahitaji kutafuta mwenza ambae wataendana kitabia. Kuwa na mwenza ambae mnatofautiana tabia inaweza kuleta matatizo kwa siku za baadae. Kupata mwenza mnaeendana kitabia huleta furaha na Amani. Ni muhimu kuswali ili kupata mwanaume au mwanamke ataekuwa sahihi kwako na Allah hufahamu yote.