Umoja upendo na huruma ndiyo msingi wa mafanikio yetu
Shekhe Adam Y. Mwinyipingu (Namba ya Utambulisho: A0004)
Sheik wa wilaya ya ilala
Ofisi ya bakwata wilaya ya ilala (Ofisi ya bakwata wilaya ya ilala)
Dar es Salaam, Ilala, Dar es salaam
Tanzania

Dua ya kujalia mafanikio katika mahusiano

katika maisha yetu ya kila siku tunakutana na watu tofauti na tunakuwa karibu yao. Tunapata marafiki ambao wanabadilika na kuwa ndugu kutokana na ukaribu tulioutengeneza. Tukumbuke kumwomba Allah atuongoze k katika kila urafiki mpya tunaokutana nao katika maisha ili urafiki tulio uanzisha udumu milele katika maisha haya na yajayo .