Umoja upendo na huruma ndiyo msingi wa mafanikio yetu
Shekhe Adam Y. Mwinyipingu (Namba ya Utambulisho: A0004)
Sheik wa wilaya ya ilala
Ofisi ya bakwata wilaya ya ilala (Ofisi ya bakwata wilaya ya ilala)
Dar es Salaam, Ilala, Dar es salaam
Tanzania

Dua kwa ajili ya kujalia Amani nyumbani

Sote tunatamani nyumba yenye Amani. Nyumba yenye Amani inaleta Amani ya akili , mwili na roho kwa wale wanaoishi ndani yake. Amaninyumbani inaweza kuvurugwa na wale waliomo ndani au nje ya nyumba lakini Imani na dua huweka nyumba katika Amani na usalama .