Umoja upendo na huruma ndiyo msingi wa mafanikio yetu
Shekhe
Adam
Y.
Mwinyipingu
(Namba ya Utambulisho: A0004) Sheik wa wilaya ya ilala
Ofisi ya bakwata wilaya ya ilala (Ofisi ya bakwata wilaya ya ilala)
Dar es Salaam,
Ilala,
Dar es salaam
Tanzania
House Location
Close
Dua kwa ajili ya kujalia Amani nyumbani
Sote tunatamani nyumba yenye Amani. Nyumba yenye Amani inaleta Amani ya akili , mwili na roho kwa wale wanaoishi ndani yake. Amaninyumbani inaweza kuvurugwa na wale waliomo ndani au nje ya nyumba lakini Imani na dua huweka nyumba katika Amani na usalama .