Umoja upendo na huruma ndiyo msingi wa mafanikio yetu
Shekhe
Adam
Y.
Mwinyipingu
(Namba ya Utambulisho: A0004) Sheik wa wilaya ya ilala
Ofisi ya bakwata wilaya ya ilala (Ofisi ya bakwata wilaya ya ilala)
Dar es Salaam,
Ilala,
Dar es salaam
Tanzania
House Location
Close
Dua kwa ajili ya marehemu
Kadiri tunavyo ishi, tunajikuta tunapoteza wapendwa wetu. Tunalia na kuhuzunika na kumuuliza Allah kwanini wapendwa wetu wametuacha. Na mara nyingine tunapoteza matumaini lakini dua kwa ajili ya waliokufa ni moja ya njia mojawapo ya kuendeleza matendo mema mpaka siku ya kiama . Majibu na faraja ya maumivu yetu yanapatikana kwa kuswali.