Shekhe
Maulid
S.
Kidebe
(Namba ya Utambulisho: A0005) Sheikh wa wilaya ya ubungo
Mbezi ya kimara (karibu na masjid nuur)
Dar es Salaam,
Ubungo,
Dar es salaam
Tanzania
House Location
Close
Dua ya kujalia Uzazi salama
Kuzaa watoto ni zawadi kutoka kwake Allah na huongeza furaha katika nyumba. Dua kwa ajili ya mama mjamzito kujifungua salama mtoto mwenye afya njema ni jukumu letu sote. Allah anayetupa uhai kwa dua zetu na sadaka atubariki sisi na wapendwa wetu kupata watoto wenye furaha na Afya tele.