Hapana maisha mazuri na ya kudumu ila maisha ya akhera.
Shekhe Juma S. Muyenga (Namba ya Utambulisho: D0002)
Sheikh
Faith an madina (Ospital ya dr hameer)
Dar es Salaam, Ilala, DSM
Tanzania

Dua ya kujalia Uzazi salama

Kuzaa watoto ni zawadi kutoka kwake Allah na huongeza furaha katika nyumba. Dua kwa ajili ya mama mjamzito kujifungua salama mtoto mwenye afya njema ni jukumu letu sote. Allah anayetupa uhai kwa dua zetu na sadaka atubariki sisi na wapendwa wetu kupata watoto wenye furaha na Afya tele.