Hapana maisha mazuri na ya kudumu ila maisha ya akhera.
Shekhe Juma S. Muyenga (Namba ya Utambulisho: D0002)
Sheikh
Faith an madina (Ospital ya dr hameer)
Dar es Salaam, Ilala, DSM
Tanzania

Dua ya kujalia mafanikio maishani

Wote tunatamani maisha mazuri na tunatamani kupata mahitaji muhimu katika maisha kama chakula, malazi afya njema na elimu. Licha ya hayo, maisha yana changamoto nyingi ambazo zinasababisha umasikini, magonjwa na kuleta woga kuhusu kesho ( siku zinazokuja). Quran inasema” Allah aliahidi wingi wa msamaha kutoka kwake” ( 7:188) . Tunahitaji muongozo kutoka kwa Allah ilikuweza kuchuma na kufurahia mahitaji muhimu ya ya maisha.