Hapana maisha mazuri na ya kudumu ila maisha ya akhera.
Shekhe Juma S. Muyenga (Namba ya Utambulisho: D0002)
Sheikh
Faith an madina (Ospital ya dr hameer)
Dar es Salaam, Ilala, DSM
Tanzania

Dua kwa ajili kujaliwa uzazi

Mara nyingine watu wanapata shida kupata watoto na kila mara wanahama kutoka kwa daktari mmoja kwenda kwa daktari mwingine kutafuta ushauri ya jinsi ya kushika mimba. Wengine hutumia njia za kienyeji lakini hawafanikiwi. Watoto ni Baraka kutoka kwake Allah . Allah ndie anayetupa uhai Wakati wanandoa wanahangaika kupata watoto, ni muhimu Allah kuingilia kati.