Hapana maisha mazuri na ya kudumu ila maisha ya akhera.
Shekhe
Juma
S.
Muyenga
(Namba ya Utambulisho: D0002) Sheikh
Faith an madina (Ospital ya dr hameer)
Dar es Salaam,
Ilala,
DSM
Tanzania
House Location
Close
Dua kwa ajili ya marehemu
Kadiri tunavyo ishi, tunajikuta tunapoteza wapendwa wetu. Tunalia na kuhuzunika na kumuuliza Allah kwanini wapendwa wetu wametuacha. Na mara nyingine tunapoteza matumaini lakini dua kwa ajili ya waliokufa ni moja ya njia mojawapo ya kuendeleza matendo mema mpaka siku ya kiama . Majibu na faraja ya maumivu yetu yanapatikana kwa kuswali.