Hapana maisha mazuri na ya kudumu ila maisha ya akhera.
Shekhe Juma S. Muyenga (Namba ya Utambulisho: D0002)
Sheikh
Faith an madina (Ospital ya dr hameer)
Dar es Salaam, Ilala, DSM
Tanzania

Dua kwa ajili ya marehemu

Kadiri tunavyo ishi, tunajikuta tunapoteza wapendwa wetu. Tunalia na kuhuzunika na kumuuliza Allah kwanini wapendwa wetu wametuacha. Na mara nyingine tunapoteza matumaini lakini dua kwa ajili ya waliokufa ni moja ya njia mojawapo ya kuendeleza matendo mema mpaka siku ya kiama . Majibu na faraja ya maumivu yetu yanapatikana kwa kuswali.