Mambo matatu yakikupita hayarudi :wakati,ujana,na uzuri.Basi jitunze vizuri.
Shekhe
Ally
M.
Mkoyogore
(Namba ya Utambulisho: D0004) Naibu Kadh mkuu
Masjid Kadiria. (karibu na Temeke hospital.)
Dar es Salaam,
Temeke,
DSM
Tanzania
House Location
Close
Dua ya kujalia Uzazi salama
Kuzaa watoto ni zawadi kutoka kwake Allah na huongeza furaha katika nyumba. Dua kwa ajili ya mama mjamzito kujifungua salama mtoto mwenye afya njema ni jukumu letu sote. Allah anayetupa uhai kwa dua zetu na sadaka atubariki sisi na wapendwa wetu kupata watoto wenye furaha na Afya tele.