Mambo matatu yakikupita hayarudi :wakati,ujana,na uzuri.Basi jitunze vizuri.
Shekhe
Ally
M.
Mkoyogore
(Namba ya Utambulisho: D0004) Naibu Kadh mkuu
Masjid Kadiria. (karibu na Temeke hospital.)
Dar es Salaam,
Temeke,
DSM
Tanzania
House Location
Close
Dua ya kujalia mafanikio katika biashara
Kila mfanyabiashara a angependa kupata faida na kuona biashara yake inaendelea . Watu wengi hawaendelei kibiashara kwa sababu ya kutomtegemea Allah. . Allah ndie mtoa Yote. Maendeleo katika biashara yanaweza kufikiwa kwa kumuabudu yeye.