Mambo matatu yakikupita hayarudi :wakati,ujana,na uzuri.Basi jitunze vizuri.
Shekhe Ally M. Mkoyogore (Namba ya Utambulisho: D0004)
Naibu Kadh mkuu
Masjid Kadiria. (karibu na Temeke hospital.)
Dar es Salaam, Temeke, DSM
Tanzania

Dua ya kujalia mafanikio katika biashara

Kila mfanyabiashara a angependa kupata faida na kuona biashara yake inaendelea . Watu wengi hawaendelei kibiashara kwa sababu ya kutomtegemea Allah. . Allah ndie mtoa Yote. Maendeleo katika biashara yanaweza kufikiwa kwa kumuabudu yeye.