Mambo matatu yakikupita hayarudi :wakati,ujana,na uzuri.Basi jitunze vizuri.
Shekhe
Ally
M.
Mkoyogore
(Namba ya Utambulisho: D0004) Naibu Kadh mkuu
Masjid Kadiria. (karibu na Temeke hospital.)
Dar es Salaam,
Temeke,
DSM
Tanzania
House Location
Close
Dua kwa ajili ya mwenzi anayekufaa
Watu wengi wanahitaji kutafuta mwenza ambae wataendana kitabia. Kuwa na mwenza ambae mnatofautiana tabia inaweza kuleta matatizo kwa siku za baadae. Kupata mwenza mnaeendana kitabia huleta furaha na Amani. Ni muhimu kuswali ili kupata mwanaume au mwanamke ataekuwa sahihi kwako na Allah hufahamu yote.