Mambo matatu yakikupita hayarudi :wakati,ujana,na uzuri.Basi jitunze vizuri.
Shekhe Ally M. Mkoyogore (Namba ya Utambulisho: D0004)
Naibu Kadh mkuu
Masjid Kadiria. (karibu na Temeke hospital.)
Dar es Salaam, Temeke, DSM
Tanzania

Dua ya kujalia mafanikio katika mahusiano

katika maisha yetu ya kila siku tunakutana na watu tofauti na tunakuwa karibu yao. Tunapata marafiki ambao wanabadilika na kuwa ndugu kutokana na ukaribu tulioutengeneza. Tukumbuke kumwomba Allah atuongoze k katika kila urafiki mpya tunaokutana nao katika maisha ili urafiki tulio uanzisha udumu milele katika maisha haya na yajayo .