Mambo matatu yakikupita hayarudi :wakati,ujana,na uzuri.Basi jitunze vizuri.
Shekhe
Ally
M.
Mkoyogore
(Namba ya Utambulisho: D0004) Naibu Kadh mkuu
Masjid Kadiria. (karibu na Temeke hospital.)
Dar es Salaam,
Temeke,
DSM
Tanzania
House Location
Close
Dua kwa ajili ya kujalia Amani nyumbani
Sote tunatamani nyumba yenye Amani. Nyumba yenye Amani inaleta Amani ya akili , mwili na roho kwa wale wanaoishi ndani yake. Amaninyumbani inaweza kuvurugwa na wale waliomo ndani au nje ya nyumba lakini Imani na dua huweka nyumba katika Amani na usalama .