Mambo matatu yakikupita hayarudi :wakati,ujana,na uzuri.Basi jitunze vizuri.
Shekhe
Ally
M.
Mkoyogore
(Namba ya Utambulisho: D0004) Naibu Kadh mkuu
Masjid Kadiria. (karibu na Temeke hospital.)
Dar es Salaam,
Temeke,
DSM
Tanzania
House Location
Close
Dua ya kujalia safari njema
Safari kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine inaweza kuleta mambo ambayo hukuyatarajia . Safari ya kuelekea usikokujua mara nyingi inagubikwa na woga. Ni muhimu kuweka Imani yetu kwa Allah ili atubariki sisi na wapendwa wetu kabla na baada ya safari.