Fanya utakavyo, kama ufanyavyo ndivyo utakavyolipwa
Alhad
M.
Salum
(Namba ya Utambulisho: A0002) Sheikh wa mkoa wa dar es salaam
House Location
Close
Dua ya kujalia Uzazi salama
Kuzaa watoto ni zawadi kutoka kwake Allah na huongeza furaha katika nyumba. Dua kwa ajili ya mama mjamzito kujifungua salama mtoto mwenye afya njema ni jukumu letu sote. Allah anayetupa uhai kwa dua zetu na sadaka atubariki sisi na wapendwa wetu kupata watoto wenye furaha na Afya tele.