Fanya utakavyo, kama ufanyavyo ndivyo utakavyolipwa
Alhad
M.
Salum
(Namba ya Utambulisho: A0002) Sheikh wa mkoa wa dar es salaam
House Location
Close
Dua ya kujalia mafanikio katika biashara
Kila mfanyabiashara a angependa kupata faida na kuona biashara yake inaendelea . Watu wengi hawaendelei kibiashara kwa sababu ya kutomtegemea Allah. . Allah ndie mtoa Yote. Maendeleo katika biashara yanaweza kufikiwa kwa kumuabudu yeye.