Fanya utakavyo, kama ufanyavyo ndivyo utakavyolipwa
Alhad M. Salum (Namba ya Utambulisho: A0002)
Sheikh wa mkoa wa dar es salaam

Dua ya kujalia mafanikio katika biashara

Kila mfanyabiashara a angependa kupata faida na kuona biashara yake inaendelea . Watu wengi hawaendelei kibiashara kwa sababu ya kutomtegemea Allah. . Allah ndie mtoa Yote. Maendeleo katika biashara yanaweza kufikiwa kwa kumuabudu yeye.