Mara nyingine watu wanapata shida kupata watoto na kila mara wanahama kutoka kwa daktari mmoja kwenda kwa daktari mwingine kutafuta ushauri ya jinsi ya kushika mimba. Wengine hutumia njia za kienyeji lakini hawafanikiwi. Watoto ni Baraka kutoka kwake Allah . Allah ndie anayetupa uhai Wakati wanandoa wanahangaika kupata watoto, ni muhimu Allah kuingilia kati.