katika maisha yetu ya kila siku tunakutana na watu tofauti na tunakuwa karibu yao. Tunapata marafiki ambao wanabadilika na kuwa ndugu kutokana na ukaribu tulioutengeneza. Tukumbuke kumwomba Allah atuongoze k katika kila urafiki mpya tunaokutana nao katika maisha ili urafiki tulio uanzisha udumu milele katika maisha haya na yajayo .