Fanya utakavyo, kama ufanyavyo ndivyo utakavyolipwa
Alhad M. Salum (Namba ya Utambulisho: A0002)
Sheikh wa mkoa wa dar es salaam

Dua kwa ajili ya marehemu

Kadiri tunavyo ishi, tunajikuta tunapoteza wapendwa wetu. Tunalia na kuhuzunika na kumuuliza Allah kwanini wapendwa wetu wametuacha. Na mara nyingine tunapoteza matumaini lakini dua kwa ajili ya waliokufa ni moja ya njia mojawapo ya kuendeleza matendo mema mpaka siku ya kiama . Majibu na faraja ya maumivu yetu yanapatikana kwa kuswali.