Fanya utakavyo, kama ufanyavyo ndivyo utakavyolipwa
Alhad
M.
Salum
(Namba ya Utambulisho: A0002) Sheikh wa mkoa wa dar es salaam
House Location
Close
Dua ya kujalia safari njema
Safari kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine inaweza kuleta mambo ambayo hukuyatarajia . Safari ya kuelekea usikokujua mara nyingi inagubikwa na woga. Ni muhimu kuweka Imani yetu kwa Allah ili atubariki sisi na wapendwa wetu kabla na baada ya safari.