Mchungaji
Elisha
E.
Nyamlundwa
(Namba ya Utambulisho: R0032) Msimamizi wa kanisa
River of Life (Kiwanda cha yeboyebo)
Pwani,
Mkuranga,
coast regional
Tanzania
House Location
Close
Sala kwa ajili ya marehemu
Kadiri tunavyo ishi, tunajikuta tunapoteza wapendwa wetu. Tunalia na kuhuzunika na kumuuliza Mungu kwanini wapendwa wetu wametuacha. Na mara nyingine tunapoteza matumaini kufuatia kifo cha watu tunaowategemea . Majibu na faraja yanapatikana kwa kusali.