Mchungaji
Elisha
E.
Nyamlundwa
(Namba ya Utambulisho: R0032) Msimamizi wa kanisa
River of Life (Kiwanda cha yeboyebo)
Pwani,
Mkuranga,
coast regional
Tanzania
House Location
Close
Sala ya Uzazi salama
Kuzaa watoto ni zawadi kutoka kwa Mungu na huongeza furaha katika nyumba. Maombi kwa ajili ya mama mjamzito kujifungua salama ni jukumu letu sote. Yeye anayetoa uzima, kwa maombi yetu atubariki sisi na wapendwa wetu ili tupate watoto wenye furaha na Afya tele.