Neema yako yanitosha
Mchungaji Elisha E. Nyamlundwa (Namba ya Utambulisho: R0032)
Msimamizi wa kanisa
River of Life (Kiwanda cha yeboyebo)
Pwani, Mkuranga, coast regional
Tanzania

Sala ya mafanikio maishani

Wote tunatamani maisha mazuri na tunatamani kupata mahitaji muhimu katika maisha kama chakula, malazi , afya njema na elimu. Licha ya hayo, maisha yana changamoto nyingi ambazo zinasababisha umasikini, magonjwa na kuleta woga kuhusu yanao jiri kesho. Tunahitaji Baraka kutoka kwa Mungu ambazo zitatuongoza kuchuma na kufurahia mahitaji muhimu katika maisha