Mchungaji
Elisha
E.
Nyamlundwa
(Namba ya Utambulisho: R0032) Msimamizi wa kanisa
River of Life (Kiwanda cha yeboyebo)
Pwani,
Mkuranga,
coast regional
Tanzania
House Location
Close
Sala kwa ajili ya kuwa mzazi
Mara nyingine watu wanapata shida kupata watoto na kila mara wanahama kutoka kwa daktari mmoja kwenda kwa mwingine kutafuta ushauri ya jinsi ya kushika mimba. Wengine hutumia njia za kienyeji lakini hawafanikiwi. Watoto ni Baraka kutoka kwa Mungu na wakati wanandoa wanahangaika kupata watoto, ni muhimu Mungu kuingilia kati , kwani ndie aliesema tuzae na kuijaza Dunia na yeye hutimiza ahadi zake.