Wakati ujao ni bora zaidi kwako kuliko wakati uliopo
Shekhe Hilali S. Makarani - Kipozeo (Namba ya Utambulisho: D0001)
Sheikh wa al Marid islamic former centre
Nyumbani kwake (Karibu na msikiti wa juhudi mchangani)
Dar es Salaam, Kinondoni, DSM
Tanzania

Dua kwa ajili ya marehemu

Kadiri tunavyo ishi, tunajikuta tunapoteza wapendwa wetu. Tunalia na kuhuzunika na kumuuliza Allah kwanini wapendwa wetu wametuacha. Na mara nyingine tunapoteza matumaini lakini dua kwa ajili ya waliokufa ni moja ya njia mojawapo ya kuendeleza matendo mema mpaka siku ya kiama . Majibu na faraja ya maumivu yetu yanapatikana kwa kuswali.