Nguvu ya neno la Mungu inaponya
Mchungaji Sebastian S. Kimario (Namba ya Utambulisho: S0004)
Mchungaji kiongozi
Mlima wa moto Bunju B (Ofisi ya Serekali ya mtaa Kihonzile)
Dar es Salaam, Kinondoni, Dar es Salaam
Tanzania

Sala ya mavuno bora

Kilimo ni uti wa mgongo wa familia nyingi. Kuna wakati, mvua hazinyeshi kwa wakati na jua linawaka sana na mazao yanakufa. Kupitia muongozo na Baraka zake tunapata kuishi.ili ardhi iwe na rutuba na kuweza kuzalisha, tunahitaji kusali na kuweka Imani kwake Mungu, kwani ni yeye pekee anayeweza kurudisha chote kilichopotea na kutupa mvua na mavuno bora.