Nguvu ya neno la Mungu inaponya
Mchungaji Sebastian S. Kimario (Namba ya Utambulisho: S0004)
Mchungaji kiongozi
Mlima wa moto Bunju B (Ofisi ya Serekali ya mtaa Kihonzile)
Dar es Salaam, Kinondoni, Dar es Salaam
Tanzania

Sala ya Uzazi salama

Kuzaa watoto ni zawadi kutoka kwa Mungu na huongeza furaha katika nyumba. Maombi kwa ajili ya mama mjamzito kujifungua salama ni jukumu letu sote. Yeye anayetoa uzima, kwa maombi yetu atubariki sisi na wapendwa wetu ili tupate watoto wenye furaha na Afya tele.