Mungu ni mwema siku zote kwako na kwa familia yako na anakuwazia mambo mazuri wewe na nyumba yako, pokea baraka; ubarikiwe kwa jina la Yesu Kristo.
YEREMIA 29:11
“Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi, asema Bwana, ni mawazo ya amani
wala si ya mabaya, kuwapa ninyi tumaini siku zenu za mwisho.”