Waislam tujitolee kuupeleka uislam mbele
Imamu Mohammed H. Athuman (Namba ya Utambulisho: D1001)
Imam
Masjid Badri (Stendi ya Mabasi Mtongani)
Dar es Salaam, Temeke, Dar es Salaam
Tanzania
Imamu Mohammed H. Athuman (Namba ya Utambulisho: D1001)
Imam
Masjid Badri (Stendi ya Mabasi Mtongani)
Dar es Salaam, Temeke, Dar es Salaam
Tanzania

Muda wa sala

Jumapili
11:15-11:20
Al Fajir
7:00-7:05
Adhuhur
10:00-10:05
Laasir
12:20-12:35
Magharib
2:00-2:05
Inshah
Jumatatu
11:15-11:20
Al Fajir
7:00-7:05
Adhuhur
10:00-10:05
Laasir
12:20-12:35
Magharib
2:00-2:05
Inshah
Jumanne
11:15-11:20
Al Fajir
7:00-7:05
Adhuhur
10:00-10:05
Laasir
12:20-12:35
Magharib
2:00-2:05
Inshah
Jumatano
11:15-11:20
Al Fajir
7:00-7:05
Adhuhur
10:00-10:05
Laasir
12:20-12:35
Magharib
2:00-2:05
Inshah
Alhamisi
11:15-11:20
Al Fajir
7:00-7:05
Adhuhur
10:00-10:05
Laasir
12:20-12:35
Magharib
2:00-2:05
Inshah
Ijumaa
11:15-11:20
Al Fajir
7:00-7:05
Ijumaa
10:00-10:05
Laasir
12:20-12:35
Magharib
2:00-2:05
Inshah
Jumamosi
11:15-11:20
Al Fajir
7:00-7:05
Adhuhur
10:00-10:05
Laasir
12:20-12:35
Magharib
2:00-2:05
Inshah
Taarifa kuhusu muda wa sala Unaweza kubadilika mara kwa mara.SADAKA network, unakusihi kuthibitisha taarifa zako kabla ya kuingia hatua inayofuata.

Ujumbe Binafsi


Bismillah Rahman Rahim. Assalm Aleykum.

Ewe mja tambua ya kwamba kila mmoja wetu ataonja umauti kama Mwenyenzi Mungu alivyosema katika Quran (Kur nafsi dhaaika tul mauti) hivyo basi tumia wakati ulionao kwa kujinyenyekeza mbele za Mola wako kwa kuswali, kutoa Dhaka, sadaka na mengineyo yanayompendeza Mwenyenzi Mungu. Milango ya Wafalme na Maraisi hufungwa ila Mlango wa Mwenyenzi Mungu upo wazi daima kwa ajili ya kuombwa. Tumuombe mwenyenzi Mungu atufanye miongoni mwa watakaoiona Pepo yake Tukufu. Amin.

Jiandikishe bure

Washirika wa Thamani

Tuma sala maalum

MAOMBI

Onyesha huduma zote

Huduma zote