Waislam tujitolee kuupeleka uislam mbele
Imamu Mohammed H. Athuman (Namba ya Utambulisho: D1001)
Imam
Masjid Badri (Stendi ya Mabasi Mtongani)
Dar es Salaam, Temeke, Dar es Salaam
Tanzania

Dua kwa ajili kujaliwa uzazi

Mara nyingine watu wanapata shida kupata watoto na kila mara wanahama kutoka kwa daktari mmoja kwenda kwa daktari mwingine kutafuta ushauri ya jinsi ya kushika mimba. Wengine hutumia njia za kienyeji lakini hawafanikiwi. Watoto ni Baraka kutoka kwake Allah . Allah ndie anayetupa uhai Wakati wanandoa wanahangaika kupata watoto, ni muhimu Allah kuingilia kati.