Sheikh wa wilaya ya Kigamboni
Hakika hamuwezi kuwatosheleza watu kwa mali zenu,Basi watoshelezeni kwa tabia zenu
Hakika hamuwezi kuwatosheleza watu kwa mali zenu,Basi watoshelezeni kwa tabia zenu
Umoja upendo na huruma ndiyo msingi wa mafanikio yetu
Wakati ujao ni bora zaidi kwako kuliko wakati uliopo
Mambo matatu yakikupita hayarudi :wakati,ujana,na uzuri.Basi jitunze vizuri.